105. Kuwatafuta (Seeking the lost)

 105. Kuwatafuta (Seeking the lost)

 

1.   

Kuwatafuta wasioweza,

Kuomba wamrejee Yesu,

Kuwaambia maneno yake,

“Njooni kwangu, nawapenda”.

 

Nitakwenda, (kwenda), niwatafute

Waongofu (wa Bwana) wageuke,

Waingie (wote) katika zizi

La Mkombozi (wetu) Yesu kristo.

 

2.   

Kuwatafuta wasioweza,

Waonyeshwe Mwokozi wetu,

Kuwaongoza, wapate wote

Uzima wa milele.

 

3.   

Kazi hiyo nataka kufanya,

Leo nimesikia mwito

Kuwainua waangukao,

Waletwe kwake Yesu njia.

Comments

Popular posts from this blog

101. Twonane Milele (In the sweet by-and-by)

102. Kazi Yangu Ikiisha (When my life work is ended)

104. Twasoma ni Njema Sana (There is a better world they say)