106. Mungu Awe Nanyi Daima (God be with you till we meet again)

106. Mungu Awe Nanyi Daima (God be with you till we meet again)

 

1.   

Mungu awe nanyi daima,

Hata twonane ya pili,

Awachunge kwa fadhili,

Mungu awe nanyi daima.

 

Hata twonane huko juu,

Hata twonane kwake kwema;

Hata twonane huko juu,

Mungu awe nanyi daima.

 

2.   

Mungu awe nanyi daima;

Ziwafunike mbawaze,

Awalishe, awakuze;

Mungu awe nanyi daima.

 

3.   

Mungu awe nanyi daima;

Kila wakati wa shani

Awalinde hifadhini;

Mungu awe nanyi daima.

 

4.   

Mungu awe nanyi daima;

Awabarikie sana,

Awapasulie kina;

Mungu awe nanyi daima.

Comments

Popular posts from this blog

101. Twonane Milele (In the sweet by-and-by)

102. Kazi Yangu Ikiisha (When my life work is ended)

104. Twasoma ni Njema Sana (There is a better world they say)