110. Mapya ni Mapenzi Hayo (New every morning is the love)

110. Mapya ni Mapenzi Hayo (New every morning is the love)

 

1.   

Mapya ni mapenzi hayo,

Asubuhi tuonayo,

Saa za giza hulindwa

Kwa uzima kuamshwa.

 

2.   

Kila siku, mapya pia

Rehema, wema, na afya,

Wokovu, na msamaha,

Mawazo mema, furaha.

 

3.   

Tukijitahidi leo

Na mwendo utupasao,

Mungu atatueleza

Yatakayompendeza.

 

4.   

Mambo yetu ya dunia

Mungu atayang’aria,

Matata atageuza

Yawe kwetu ya baraka.

 

5.   

Yaliyo madogo, haya

Mungu tukimfanyia,

Yatosha: tutafaidi

Huvuta kwake zaidi.

 

6.   

Ewe Bwana, siku zote,

Tusaidie kwa yote:

Mwendo wetu wote vivyo,

Uwe kama tuombavyo.

Comments

Popular posts from this blog

101. Twonane Milele (In the sweet by-and-by)

102. Kazi Yangu Ikiisha (When my life work is ended)

104. Twasoma ni Njema Sana (There is a better world they say)