112. Nilikupa Wewe Maisha Yangu (I gave my life for Thee)

112. Nilikupa Wewe Maisha Yangu (I gave my life for Thee)

 

1.   

Nilikupa wewe

Damu ya moyoni,

Ili wokolewe,

Winuke ufuni:

Nimekunyimani?

Umenipa nini?

 

2.   

Nilikupa miaka

Yangu duniani

Upate inuka,

Kuishi Mbinguni:

Nimekunyimani?

Umenipa nini:

 

3.   

Niliacha nuru

Za Baba, Mbinguni,

Kwingia taabu

Za ulimwenguni:

Nimekunyimani?

Umenipa nini?

 

4.   

Niliteswa sana,

Mateso kifoni,

Usije yaona

Hayo ya motoni:

Nimekunyimani?

Umenipa nini?

 

5.   

Nimekuletea

Huku duniani

Upendo na afya

Zatoka Mbinguni:

Nimekunyimani?

Umenipa nini?

 

6.   

Nipe siku zako,

Udumu mwangani;

Na taabu yako,

Wingie rahani

Nafsi, pendo, mali,

Twae Imanweli.

Comments

Popular posts from this blog

101. Twonane Milele (In the sweet by-and-by)

102. Kazi Yangu Ikiisha (When my life work is ended)

104. Twasoma ni Njema Sana (There is a better world they say)