125. Ati Twonane Mtoni? (Shall we gather at the river?)

125. Ati Twonane Mtoni? (Shall we gather at the river?)

 

1.   

Ati twonane mtoni?

Maji mazuri ya Mbingu;

Yanatokea mwangani,

Penye kiti cha Mungu.

 

Naam, twonane mtoni!

Watakatifu, kwenu ni mtoni!

Tutakutanika mtoni

Penye kiti cha Mungu.

 

2.   

Tukitembea mtoni

Na Yesu mchunga wetu

Daima tu ibadani

Usoni pake kwetu.

 

3.   

Kwang’ara sana mtoni

Cha Mwokozi ni kioo,

Milele hatuachani,

Tumsifu kwa nyimbo.

 

4.   

Si mbali sana mtoni,

Karibu tutawasili,

Mara huwa furahani

Na amani ya kweli.

Comments

Popular posts from this blog

101. Twonane Milele (In the sweet by-and-by)

102. Kazi Yangu Ikiisha (When my life work is ended)

104. Twasoma ni Njema Sana (There is a better world they say)